Maana 1
Hewa chafu yenye harufu mbaya inayotoka tumboni kupitia njia ya haja kubwa.
Mfano wa matumizi: Watoto walicheka baada ya mmoja wao kutoa mashuzi darasani.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.