ama...ama

Maneno yanayotumiwa kuonesha kwamba lazima kuchagua mojawapo kati ya mambo mawili au zaidi, na si yote kwa pamoja.

Kiunganishi kinachoonesha ulazima wa kuchagua kati ya mambo mawili au zaidi.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiswahili