utambi

Uzi maalumu unaowekwa ndani ya taa au mshumaa ili kuwaka na kutoa mwanga.

Uzi wa ndani ya taa au mshumaa unaotumika kuwasha na kutoa mwanga.

Maana

2 jumla

Visawe

2 jumla
ufitoutepe

Asili ya neno

Kiswahili