mmeng'enyo

Kitendo au hali ya kuvunjwavunjwa au kusagwa kwa kitu, hasa chakula tumboni ili kiweze kufyonzwa na mwili.

Ni mchakato wa kusagika au kuvunjika kwa kitu, hasa chakula, ndani ya mwili.

Maana

2 jumla

Visawe

1 jumla
uvunjaji

Asili ya neno

Kiswahili; kimejengwa kutoka kitenzi 'mengenya'.