mfumolugha

Mpangilio wa kimfumo wa vipengele vya lugha kama vile sauti, maneno, na kanuni zinazotawala matumizi yake ili kufikisha maana katika jamii fulani.

Mfumo wa ndani unaoongoza uundaji na matumizi ya lugha.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiambatishomfumo’ + ‘lugha