kilema

Mtu mwenye kasoro ya viungo au sehemu ya mwili ambayo humfanya asiweze kufanya mambo fulani kama watu wengine wenye viungo kamili.

Mtu mwenye ulemavu wa mwili au kasoro ya viungo.

Maana

3 jumla

Visawe

1 jumla
mlemavu

Methali zinazotaja neno hili

1 jumla
  • Mcheka Kilema Hafi Bila Kumpata

Asili ya neno

Kiswahili asilia