kanadili

Taa ndogo inayotumia mafuta taa na kuwa na utambi, hutumika kutoa mwanga hasa nyakati za usiku au mahali pasipo na umeme.

Chombo kidogo cha kutoa mwanga kwa kutumia mafuta taa na utambi.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiswahili