Maana 1
Kufanya au kutokea kwa pamoja na kwa ukaribu; kwenda au kuwepo pamoja bila kutengana.
Mfano wa matumizi: Watoto walifungana wakielekea shuleni.
Kufanya au kutokea kwa pamoja na kwa ukaribu; kwenda au kuwepo pamoja bila kutengana.
Mfano wa matumizi: Watoto walifungana wakielekea shuleni.
Kufungika au kushikamana kwa vitu viwili au zaidi kiasi cha kutengana kuwa vigumu.
Mfano wa matumizi: Mikono yao ilifungana kwa nguvu wakati wa maombi.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.