Maana 1
Nafasi iliyopo katikati ya vitu viwili au zaidi, au inayotenganisha vitu hivyo.
Mfano wa matumizi: Kuna mto mkubwa baina ya kijiji chetu na chao.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.