Maana 1
Kifaa kinachovaliwa usoni, hasa kufunika mdomo na pua, ili kujikinga na vumbi, maradhi, au gesi hatari.
Mfano wa matumizi: Wahudumu wa afya hutumia barakoa wanapowahudumia wagonjwa.
Kifaa kinachovaliwa usoni, hasa kufunika mdomo na pua, ili kujikinga na vumbi, maradhi, au gesi hatari.
Mfano wa matumizi: Wahudumu wa afya hutumia barakoa wanapowahudumia wagonjwa.
Kifaa kinachovaliwa usoni kwa lengo la kubadili au kuficha sura, hasa wakati wa tamasha, michezo au sherehe.
Mfano wa matumizi: Watoto walivaa barakoa za wanyama wakati wa tamasha la shule.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.