Maana 1
Kuchelewa kutokea au kutendeka kwa jambo au shughuli kuliko ilivyopangwa au kutarajiwa.
Mfano wa matumizi: Mkutano uliokuwa umepangwa kufanyika leo umeahirika hadi wiki ijayo.
Kuchelewa kutokea au kutendeka kwa jambo au shughuli kuliko ilivyopangwa au kutarajiwa.
Mfano wa matumizi: Mkutano uliokuwa umepangwa kufanyika leo umeahirika hadi wiki ijayo.
Kusitishwa au kupelekwa mbele kwa muda wa kutokea kwa jambo au shughuli.
Mfano wa matumizi: Shindano la riadha limeahirika kutokana na mvua kubwa.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.