Maana 1
Kutoa amri au maelekezo rasmi ili jambo fulani lifanyike.
Mfano wa matumizi: Mwalimu aliagiza wanafunzi wafanye kazi ya nyumbani.
Kiarabu (أمرَ, أَوْصى)
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.