Maana 1
Mtoto ambaye amefiwa na mzazi mmoja au wazazi wote wawili.
Mfano wa matumizi: Baada ya ajali, watoto wawili walibaki yatima.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.