Maana 1
Kuondoa mtego uliowekwa ili kunasa kitu au kiumbe.
Mfano wa matumizi: Mwindaji alitegua mtego baada ya kuona hakuna kitu kilichonaswa.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.