silabi

Sehemu ya neno inayotamkwa kwa pamoja bila kukatizwa na pumzi, na ambayo huwa na irabu moja au zaidi pamoja na konsonanti zinazoweza kuitangulia au kuifuata.

Kipande cha neno kinachotamkwa kwa mkupuo mmoja bila kukatizwa na pumzi.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiarabu (ṣilāba) au Kigiriki (syllabē)