Maana 1
Chombo kidogo cha chuma chenye umbo maalumu kinachotupwa majini ili kuzuia mashua, ngalawa au chombo kingine kidogo cha majini kisitembee kutokana na mkondo wa maji au upepo.
Mfano wa matumizi: Nahodha alitupa ngauti baharini ili mashua isimame mahali pamoja.