mkwezi

Mtu anayepanda minazi ili kuchuma nazi au kufanya shughuli nyingine juu ya mti huo.

Mtu anayepanda minazi kwa ajili ya kuchuma nazi au kazi nyingine juu ya mnazi.

Maana

2 jumla

Methali zinazotaja neno hili

1 jumla
  • Usigombe Na Mkwezi, Nazi Imeliwa Na Mwezi

Asili ya neno

Kiswahili