mfumofunge

Mfumo ambao haukubali kuingiliwa, kubadilishwa au kuongezewa kitu kutoka nje; mfumo uliojifunga na kujitegemea pekee yake.

Mfumo usioruhusu mwingiliano na mazingira ya nje.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiambatanisho cha 'mfumo' na 'funge' (Kiswahili)