Maana 1
Mafuta au dawa maalumu inayopakwa juu ya ngozi, hasa kwenye vidonda, majereha, au sehemu zenye maumivu ili kutibu, kulainisha au kulinda.
Mfano wa matumizi: Daktari alimpa mgonjwa marhamu ya kupaka kwenye kidonda chake.
Mafuta au dawa maalumu inayopakwa juu ya ngozi, hasa kwenye vidonda, majereha, au sehemu zenye maumivu ili kutibu, kulainisha au kulinda.
Mfano wa matumizi: Daktari alimpa mgonjwa marhamu ya kupaka kwenye kidonda chake.
Dawa ya kupaka inayotumika kupunguza muwasho, maumivu au kuzuia maambukizi kwenye ngozi.
Mfano wa matumizi: Marhamu hii inapunguza muwasho wa ngozi baada ya kung'atwa na mdudu.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.