madadi

Mapambo au vitu vinavyovaliwa au kutumiwa kujiremba mwilini, hasa na wanawake, kama vile hereni, mikufu, bangili na vinginevyo.

Vitu vya mapambo vinavyovaliwa mwilini, aghalabu na wanawake.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiswahili