Maana 1
Kutoa amri, onyo, au sharti ili mtu au kundi wasifanye jambo fulani.
Mfano wa matumizi: Walimu walikataza wanafunzi kucheza wakati wa masomo.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.