kondo

Kondo la nyuma; mfuko maalumu unaojitenga na mnyama au binadamu wakati wa kuzaa na ambao ulikuwa ukilisha kijusi tumboni.

Kondo ni mfuko unaotoka baada ya mtoto kuzaliwa, wenye jukumu la kulisha kijusi tumboni.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiswahili