kishikio

Sehemu ya chombo, kifaa au kitu iliyoandaliwa au kutengenezwa mahsusi ili ishikwe kwa mkono wakati wa kukitumia au kukibeba.

Kishikio ni sehemu ya chombo au kifaa inayowezesha kushika kwa urahisi.

Maana

2 jumla

Visawe

1 jumla
shikio

Asili ya neno

Kitenzi -shika