kinasasauti

Kifaa au chombo kinachotumika kunasa, kurekodi, au kupokea sauti kutoka katika mazingira yake.

Kinasasauti ni kifaa cha kunasa au kurekodi sauti.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

kitenzi 'kunsa' + nomino 'sauti'; Kiswahili sanifu