kigugumizi

Hali ya mtu kushindwa kuzungumza kwa ufasaha au kukatishwa na kurudia silabi au maneno kutokana na hitilafu ya viungo vya usemi, hasa ulimi au mishipa ya fahamu.

Tatizo la usemi linalosababisha mtu asitamke maneno kwa ufasaha.

Maana

2 jumla

Vinyume

1 jumla
ufasaha

Asili ya neno

Kiswahili, kianzo ni kitenzi 'gugumia' kilichoongezwa kiambishi ki- na -zi