Maana 1
Mwanga hafifu unaotokea mashariki kabla ya jua kuchomoza asubuhi.
Mfano wa matumizi: Kianga kilianza kuonekana kabla ya majogoo kuwika.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.