Maana 1
Mbegu za mimea ya njugu ambazo hupikwa au kukaangwa na hutumika kama chakula au kitafunwa.
Mfano wa matumizi: Watoto walikuwa wakila karanga chini ya mti.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.