erio

Kipande cha ngozi ngumu au kitu kingine chenye uso mkavu na magumu kinachotumiwa kusugua na kusafisha vyombo kama sufuria, sahani au birika.

Kifaa kigumu cha kusafishia vyombo kwa kusugua.

Maana

2 jumla

Visawe

1 jumla
sufuria

Asili ya neno

Kiswahili