Maana 1
Ishara au taarifa fupi inayotolewa kwa njia isiyo ya moja kwa moja ili kuelekeza, kuonya, au kufahamisha jambo.
Mfano wa matumizi: Alinipa dokezo kuhusu mtihani ujao.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.