Maana 1
Taasisi rasmi inayopokea na kuhifadhi fedha za watu au taasisi, kutoa mikopo, na kutoa huduma mbalimbali za kifedha.
Mfano wa matumizi: Aliweka fedha zake katika banki ili ziwe salama.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.