Maana 1
Kujitokeza au kuonekana wazi bila shaka; kutambulika kwa urahisi.
Mfano wa matumizi: Alama za ugonjwa huo zilianza kubainika mapema.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.