usaha

Majimaji meupe, ya kijani au ya manjano yanayotoka kwenye kidonda kilichoambukizwa, hutokana na mkusanyiko wa chembe hai, bakteria na seli zilizokufa.

Majimaji yanayotoka kwenye kidonda kilichoambukizwa.

Maana

2 jumla

Methali zinazotaja neno hili

1 jumla
  • Mzaha,Mzaha, Hutumbuka Usaha

Asili ya neno

Kiswahili