Maana 1
Upekee au ubainifu wa jambo, dhana, au taaluma kutokana na sifa maalumu zinazolitofautisha na mengine.
Mfano wa matumizi: Uhandisi wa umeme ni tahasusi inayohitaji ujuzi maalumu.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.