Maana 1
Tamko linalotumiwa na mzungumzaji kuonyesha kuwa hakuelewa jambo lililosemwa au kufanywa.
Mfano wa matumizi: Sielewi unachomaanisha katika maelezo yako.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.