mstatili

Umbo la jiometri lenye pembe nne za mstatili na pande mbili zilizo sawa kwa urefu na mbili nyingine zilizo sawa kwa urefu tofauti na zile za kwanza.

Umbo la jiometri lenye pembe nne na pande mbili ndefu na mbili fupi.

Maana

2 jumla

Visawe

1 jumla
mkwaju

Asili ya neno

Kiarabu (mstathīl), Kiingereza (rectangle)