mbirambi

Salamu au maneno yanayotolewa kwa mtu aliyeondokewa na ndugu, jamaa au rafiki kama ishara ya kumpa pole kwa msiba.

Salamu za pole zinazotolewa kwa mwenye msiba.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiswahili; ina uhusiano na neno 'rambi'