manii

Majimaji meupe yanayotoka kwenye via vya uzazi vya mwanaume wakati wa kilele cha tendo la ndoa na hubeba mbegu za kiume zinazoweza kurutubisha yai la mwanamke.

Majimaji ya uzazi ya mwanaume yenye mbegu za kiume.

Maana

2 jumla

Visawe

1 jumla
shahawa

Asili ya neno

Kiarabu