Maana 1
Upande wa dunia au eneo linalopatikana mahali ambapo jua hutua; mwelekeo wa magharibi.
Mfano wa matumizi: Nchi nyingi za magiribi zimeendelea kiteknolojia.
Upande wa dunia au eneo linalopatikana mahali ambapo jua hutua; mwelekeo wa magharibi.
Mfano wa matumizi: Nchi nyingi za magiribi zimeendelea kiteknolojia.
Sehemu au eneo la nchi, bara, au mji lililo upande wa magharibi wa kitu kingine.
Mfano wa matumizi: Magiribi mwa Tanzania kuna mkoa wa Kigoma.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.