kipofu

Mtu ambaye hana uwezo wa kuona kabisa kwa macho yake yote mawili.

Kipofu ni mtu asiyeona kabisa; pia hutumika kwa maana ya kitamathali kumaanisha asiyeona ukweli au asiyeelewa jambo.

Maana

2 jumla

Methali zinazotaja neno hili

2 jumla
  • Kumwashia Taa Kipofu Ni Kuharibu Mafuta
  • Usile Na Kipofu Ukamgusa Rnkono

Asili ya neno

Kiswahili