Maana 1
Jamii ya watu wanaotokana na ukoo mmoja au wanaoshirikiana lugha, mila na desturi maalumu zinazowatofautisha na makundi mengine ya watu.
Mfano wa matumizi: Watu wa kabila la Wazigua wana mila na desturi zao.
Jamii ya watu wanaotokana na ukoo mmoja au wanaoshirikiana lugha, mila na desturi maalumu zinazowatofautisha na makundi mengine ya watu.
Mfano wa matumizi: Watu wa kabila la Wazigua wana mila na desturi zao.
Kundi la watu linalotambulika kwa jina maalumu na kuishi pamoja au katika maeneo yanayokaribiana.
Mfano wa matumizi: Kabila la Wamasai linaishi katika maeneo ya kaskazini mwa Tanzania na kusini mwa Kenya.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.