Maana 1
Neno linalotumika kuonyesha mahali palipo karibu na mzungumzaji.
Mfano wa matumizi: Njoo hini tukazungumze.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.