Maana 1
Tamko la kumhimiza mtu afanye haraka, aendelee mbele, au asisite.
Mfano wa matumizi: Hala! Twende upesi tusichelewe.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.