Maana 1
Mkufu mwembamba wa mapambo unaovaliwa shingoni, mara nyingi umetengenezwa kwa metali au vifaa vingine na una viungo vidogo vilivounganishwa.
Mfano wa matumizi: Alinunua cheni ya dhahabu kwa ajili ya sherehe.
Mkufu mwembamba wa mapambo unaovaliwa shingoni, mara nyingi umetengenezwa kwa metali au vifaa vingine na una viungo vidogo vilivounganishwa.
Mfano wa matumizi: Alinunua cheni ya dhahabu kwa ajili ya sherehe.
Mnyororo mwembamba unaotumika kufunga, kubeba, au kuunganisha vitu mbalimbali, kama vile katika magari, baiskeli, au milango.
Tumia App ya Kamusi
Tafuta maneno, maana, visawe, methali, na matumizi ya Kiswahili kwa urahisi zaidi kupitia app ya Kamusi ya Mwanagenzi.