balungi

Tunda kubwa lenye maganda manene na rangi ya kijani au njano, lenye ladha ya uchachu na utamu, jamii ya machungwa, linalofanana na chungwa lakini ni kubwa zaidi.

Tunda kubwa jamii ya machungwa lenye ladha ya uchachu na utamu.

Maana

2 jumla

Asili ya neno

Kiarabu: بَلَنْجِي‎ (balanjiy)